Job Ndugai Atembelewa Na Wabunge Wa Bunge La Umoja Wa Ulaya | Gossip Wire
Breaking News
Loading...

Wednesday, May 10, 2017

Job Ndugai Atembelewa Na Wabunge Wa Bunge La Umoja Wa Ulaya


Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (wanne kulia) akipiga picha ya pamoja na Wabunge wa Bunge la Umoja wa Ulaya wakiongozwa na Mhe. David Martin (wanne kushoto) baada ya kumalizika kikao kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Spika Mjini Dodoma.



Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai akizungumza jambo pale alipopata ugeni wa Wabunge wa Bunge la Umoja wa Ulaya, katika Kikao kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Spika Mjini Dodoma.



Wageni wa Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai ambao ni Wabunge wa Bunge la Umoja wa Ulaya wakifwatilia Vikao vya Bunge vinavyoendelea leo Mjini Dodoma.

google+

linkedin

0 comments:

POST A COMMENT